10 “Siku hiyo ni ya Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, siku ya kisasi ya kulipiza kisasi dhidi ya maadui wake. Na upanga utanyafua na kujishibisha na kunywa damu yao mpaka ushibe, kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, ana dhabihu katika nchi ya kaskazini kando ya Mto Efrati.+