44Neno lililomjia Yeremia kwa ajili ya Wayahudi wote waliokuwa wakikaa katika nchi ya Misri,+ wale waliokuwa wakikaa kule Migdoli+ na Tahpanhesi+ na Nofu+ na katika nchi ya Pathrosi,+ likisema:
10 Kwa hiyo tazama, niko juu yako na juu ya mifereji yako ya Nile,+ nami nitaifanya nchi ya Misri iwe mahali palipoharibiwa, ukavu, mahame yaliyotiwa ukiwa,+ kutoka Migdoli+ hadi Sewene+ na hadi mpaka wa Ethiopia.