Ezekieli 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova anasema hivi: ‘Wale wanaoiunga mkono Misri wataangamia pia, Na nguvu zake zenye kiburi zitashushwa.’+ “‘Kuanzia Migdoli+ mpaka Siene+ watauawa kwa upanga nchini,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
6 Yehova anasema hivi: ‘Wale wanaoiunga mkono Misri wataangamia pia, Na nguvu zake zenye kiburi zitashushwa.’+ “‘Kuanzia Migdoli+ mpaka Siene+ watauawa kwa upanga nchini,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.