Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao hakika wataingiwa na woga na kuona aibu juu ya Ethiopia ambayo ni tumaini lao walilotazamia+ na juu ya Misri ambayo ni uzuri wao.+

  • Isaya 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hata hivyo, Wamisri ni watu wa udongo,+ wala si Mungu; na farasi wao ni nyama,+ wala si roho. Na Yehova mwenyewe atanyoosha mkono wake, na yeye anayetoa usaidizi atajikwaa, na yeye anayesaidiwa ataanguka,+ nao wote watafikia mwisho wakati mmoja.

  • Ezekieli 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na katika Tehafnehesi+ siku itakuwa na giza, nitakapovunja huko nira za Misri.+ Na katika yeye fahari ya nguvu zake kwa kweli itakomeshwa.+ Na kwa habari yake, mawingu yatamfunika,+ na miji yake mwenyewe ya kandokando itaenda utekwani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki