Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndiyo sababu Yehova hatashangilia hata juu ya wanaume wao vijana,+ naye hataonyesha rehema juu ya wavulana wao wasio na baba na juu ya wajane wao; kwa sababu wote ni waasi-imani+ na watenda-maovu na kila kinywa kinasema kwa kukosa akili. Kwa sababu ya hayo yote hasira yake haijarudi nyuma, bali mkono wake bado umenyooshwa.+

  • Yeremia 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Wewe mwenyewe umeniacha,’+ asema Yehova. ‘Unaendelea kutembea kwa kurudi nyuma.+ Nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako na kukuangamiza.+ Nimechoka kujuta.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki