7 kwa hiyo tazama mimi hapa; nimekunyooshea mkono wangu,+ nami nitakutoa uporwe na mataifa; nami nitakukatilia mbali kutoka katikati ya vikundi vya watu na kukuharibu kutoka katika nchi hizi.+ Nitakuangamiza wewe,+ nawe utalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’
4 “Nami nitaunyoosha mkono wangu juu ya Yuda na wakaaji wote wa Yerusalemu,+ nami nitakatilia mbali mabaki ya Baali kutoka mahali hapa,+ jina la makuhani wa miungu ya kigeni pamoja na makuhani,+