Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Uliunyoosha mkono wako wa kuume,+ nayo dunia ikawameza.+

  • Isaya 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana Yehova wa majeshi mwenyewe ametoa shauri,+ na ni nani anayeweza kulivunja?+ Na mkono wake umenyooshwa, na ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?+

  • Yeremia 7:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 ‘Kwa maana wana wa Yuda wamefanya mambo mabaya machoni pangu,’ asema Yehova. ‘Wameyaweka machukizo yao katika nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake, ili kuitia unajisi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki