Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+

  • Isaya 23:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova wa majeshi mwenyewe ametoa shauri hili,+ kutia unajisi kiburi cha uzuri wote,+ kuwatendea kwa dharau watu wote wenye vyeo wa dunia.+

  • Isaya 25:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ee Yehova, wewe ni Mungu wangu.+ Ninakutukuza,+ ninalisifu jina lako,+ kwa maana umetenda mambo ya ajabu,+ mashauri+ kutoka nyakati za kale, kwa uaminifu,+ kwa kutegemeka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki