Methali 21:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+ Isaya 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova wa majeshi mwenyewe ametoa shauri hili,+ kutia unajisi kiburi cha uzuri wote,+ kuwatendea kwa dharau watu wote wenye vyeo wa dunia.+ Isaya 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ee Yehova, wewe ni Mungu wangu.+ Ninakutukuza,+ ninalisifu jina lako,+ kwa maana umetenda mambo ya ajabu,+ mashauri+ kutoka nyakati za kale, kwa uaminifu,+ kwa kutegemeka.+
9 Yehova wa majeshi mwenyewe ametoa shauri hili,+ kutia unajisi kiburi cha uzuri wote,+ kuwatendea kwa dharau watu wote wenye vyeo wa dunia.+
25 Ee Yehova, wewe ni Mungu wangu.+ Ninakutukuza,+ ninalisifu jina lako,+ kwa maana umetenda mambo ya ajabu,+ mashauri+ kutoka nyakati za kale, kwa uaminifu,+ kwa kutegemeka.+