Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 24:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 na kusema: “Abarikiwe Yehova+ Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ambaye hakuacha fadhili zake zenye upendo na kuwa mwenye kutegemeka kumwelekea bwana wangu. Mimi nikiwa njiani, Yehova ameniongoza kwenye nyumba ya ndugu za bwana wangu.”+

  • Hesabu 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+

      Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+

      Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,

      Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki