-
Mwanzo 24:27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 na kusema: “Yehova na asifiwe, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, kwa maana hajaacha kumtendea bwana wangu kwa upendo wake mshikamanifu na kwa uaminifu wake. Yehova ameniongoza mpaka kwenye nyumba ya ndugu za bwana wangu.”
-