Zaburi 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Shauri la Yehova litasimama milele;+Mawazo ya moyo wake ni kwa kizazi kimoja baada ya kizazi kingine.+ Isaya 28:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na haya pia yametoka kwa Yehova wa majeshi mwenyewe,+ ambaye amekuwa wa ajabu katika shauri, ambaye amefanya kwa njia kuu kazi yenye matokeo.+ Waebrania 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Vivyo hivyo Mungu, alipokusudia kuwaonyesha kwa wingi zaidi warithi+ wa ile ahadi kule kutobadilika+ kwa shauri lake, aliingilia kati kwa kiapo,
11 Shauri la Yehova litasimama milele;+Mawazo ya moyo wake ni kwa kizazi kimoja baada ya kizazi kingine.+
29 Na haya pia yametoka kwa Yehova wa majeshi mwenyewe,+ ambaye amekuwa wa ajabu katika shauri, ambaye amefanya kwa njia kuu kazi yenye matokeo.+
17 Vivyo hivyo Mungu, alipokusudia kuwaonyesha kwa wingi zaidi warithi+ wa ile ahadi kule kutobadilika+ kwa shauri lake, aliingilia kati kwa kiapo,