Zaburi 40:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+ Zaburi 98:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+Mkono wake wa kuume, naam, mkono wake mtakatifu, umempatia wokovu.+ Zaburi 107:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Watu na wamtolee Yehova shukrani kwa ajili ya fadhili zake zenye upendo+Na kwa ajili ya kazi zake za ajabu kwa wana wa binadamu.+ Zaburi 145:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kizazi baada ya kizazi kitazipongeza kazi zako,+Nao watatangaza juu ya matendo yako ya nguvu.+
5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+
98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+Mkono wake wa kuume, naam, mkono wake mtakatifu, umempatia wokovu.+
8 Watu na wamtolee Yehova shukrani kwa ajili ya fadhili zake zenye upendo+Na kwa ajili ya kazi zake za ajabu kwa wana wa binadamu.+