16 Naye alipoona kwamba hapakuwa na mtu, akaanza kushangaa kwamba hapakuwa na yeyote anayeingilia kati.+ Na mkono wake ukaokoa kwa ajili yake, na uadilifu wake mwenyewe ndilo jambo lililomtegemeza.+
5 Nami niliendelea kutazama, lakini hapakuwa na msaidizi; nikaanza kushangaa, lakini hapakuwa na yeyote aliyetegemeza.+ Kwa hiyo mkono wangu ukanipa wokovu,+ na ghadhabu+ yangu ndiyo iliyonitegemeza.