Zaburi 44:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+ Zaburi 98:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+Mkono wake wa kuume, naam, mkono wake mtakatifu, umempatia wokovu.+ Isaya 51:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Amka, amka, jivike nguvu,+ Ee mkono wa Yehova!+ Amka kama katika siku za zamani za kale, kama katika vizazi vya nyakati zilizopita zamani.+ Je, si wewe uliyemvunja Rahabu+ vipande-vipande, uliyemchoma kwa silaha yule mnyama mkubwa wa baharini?+ Isaya 52:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova ameweka wazi mkono wake mtakatifu mbele ya macho ya mataifa yote;+ na miisho yote ya dunia itauona wokovu wa Mungu wetu.+
3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+
98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+Mkono wake wa kuume, naam, mkono wake mtakatifu, umempatia wokovu.+
9 Amka, amka, jivike nguvu,+ Ee mkono wa Yehova!+ Amka kama katika siku za zamani za kale, kama katika vizazi vya nyakati zilizopita zamani.+ Je, si wewe uliyemvunja Rahabu+ vipande-vipande, uliyemchoma kwa silaha yule mnyama mkubwa wa baharini?+
10 Yehova ameweka wazi mkono wake mtakatifu mbele ya macho ya mataifa yote;+ na miisho yote ya dunia itauona wokovu wa Mungu wetu.+