Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 44:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+

      Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+

      Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,

      Kwa sababu ulipendezwa nao.+

  • Zaburi 98:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+

      Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+

      Mkono wake wa kuume, naam, mkono wake mtakatifu, umempatia wokovu.+

  • Isaya 51:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Amka, amka, jivike nguvu,+ Ee mkono wa Yehova!+ Amka kama katika siku za zamani za kale, kama katika vizazi vya nyakati zilizopita zamani.+ Je, si wewe uliyemvunja Rahabu+ vipande-vipande, uliyemchoma kwa silaha yule mnyama mkubwa wa baharini?+

  • Isaya 52:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova ameweka wazi mkono wake mtakatifu mbele ya macho ya mataifa yote;+ na miisho yote ya dunia itauona wokovu wa Mungu wetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki