Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+

      Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+

      Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+

  • Zaburi 77:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wewe ndiye Mungu wa kweli, unayefanya kwa njia ya ajabu.+

      Umezijulisha nguvu zako katikati ya vikundi vya watu.+

  • Zaburi 86:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana wewe ni mkuu na unafanya mambo ya ajabu;+

      Wewe ni Mungu, wewe peke yako.+

  • Zaburi 105:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kumbukeni kazi zake za ajabu ambazo amefanya,+

      Miujiza yake na maamuzi ya hukumu ya kinywa chake,+

  • Zaburi 111:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kazi za Yehova ni kuu,+

      ד [Daʹleth]

      Zinazotafutwa na wale wote wanaopendezwa nazo.+

  • Zaburi 136:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yule peke yake aliye Mtendaji wa mambo ya ajabu, mambo makuu:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Luka 1:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 kwa sababu Mwenye nguvu amenitendea makuu, nalo jina lake ni takatifu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki