Zaburi 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Usimame, Ee Yehova, katika hasira yako;+Uinuke katika milipuko ya ghadhabu ya wale wanaonionyesha uadui,+Na uamke kwa ajili yangu,+ kwa maana umetoa amri kwa ajili ya hukumu.+ Zaburi 44:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Uamke. Kwa nini unaendelea kulala usingizi, Ee Yehova?+Uamke. Usiendelee kututupilia mbali milele.+
6 Usimame, Ee Yehova, katika hasira yako;+Uinuke katika milipuko ya ghadhabu ya wale wanaonionyesha uadui,+Na uamke kwa ajili yangu,+ kwa maana umetoa amri kwa ajili ya hukumu.+
23 Uamke. Kwa nini unaendelea kulala usingizi, Ee Yehova?+Uamke. Usiendelee kututupilia mbali milele.+