Zaburi 44:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Uamke. Kwa nini unaendelea kulala usingizi, Ee Yehova?+Uamke. Usiendelee kututupilia mbali milele.+ Zaburi 73:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kama ndoto baada ya kuamka, Ee Yehova,+Ndivyo utakavyoidharau sura yao utakapoamka.+ Isaya 51:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Amka, amka, jivike nguvu,+ Ee mkono wa Yehova!+ Amka kama katika siku za zamani za kale, kama katika vizazi vya nyakati zilizopita zamani.+ Je, si wewe uliyemvunja Rahabu+ vipande-vipande, uliyemchoma kwa silaha yule mnyama mkubwa wa baharini?+
23 Uamke. Kwa nini unaendelea kulala usingizi, Ee Yehova?+Uamke. Usiendelee kututupilia mbali milele.+
9 Amka, amka, jivike nguvu,+ Ee mkono wa Yehova!+ Amka kama katika siku za zamani za kale, kama katika vizazi vya nyakati zilizopita zamani.+ Je, si wewe uliyemvunja Rahabu+ vipande-vipande, uliyemchoma kwa silaha yule mnyama mkubwa wa baharini?+