Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Gideoni akamwambia: “Nakuomba radhi, bwana wangu, lakini ikiwa Yehova yupo pamoja nasi, kwa nini haya yote yametupata,+ na yako wapi matendo yake yote ya ajabu+ ambayo mababu zetu walitusimulia,+ wakisema, ‘Je, Yehova siye aliyetuleta kutoka Misri?’+ Na sasa Yehova ametuacha,+ naye anatutia katika mkono wa Midiani.”

  • Nehemia 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo ukatoa ishara na miujiza juu ya Farao na watumishi wake wote na watu wote wa nchi yake,+ kwa maana ulijua kwamba walitenda kwa kimbelembele+ juu yao; nawe ukajifanyia jina+ kama ilivyo leo hii.

  • Zaburi 44:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,

      Mababu zetu wenyewe wametusimulia+

      Utendaji ambao ulifanya katika siku zao,+

      Siku za zamani za kale.+

  • Zaburi 106:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kazi za ajabu katika nchi ya Hamu,+

      Mambo yenye kuogopesha kwenye Bahari Nyekundu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki