Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Na itakuwa kwamba ikiwa mwana wako atakuuliza baadaye,+ na kusema, ‘Hili linamaanisha nini?’ basi utamwambia, ‘Kwa nguvu za mkono, Yehova alitutoa Misri,+ katika nyumba ya watumwa.+

  • Waamuzi 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Gideoni akamwambia: “Nakuomba radhi, bwana wangu, lakini ikiwa Yehova yupo pamoja nasi, kwa nini haya yote yametupata,+ na yako wapi matendo yake yote ya ajabu+ ambayo mababu zetu walitusimulia,+ wakisema, ‘Je, Yehova siye aliyetuleta kutoka Misri?’+ Na sasa Yehova ametuacha,+ naye anatutia katika mkono wa Midiani.”

  • Zaburi 78:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ambavyo tumevisikia na tunavijua,+

      Na ambavyo baba zetu wenyewe wametusimulia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki