Kutoka 12:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na itakuwa kwamba wana wenu watakapowaambia, ‘Utumishi huu unamaanisha nini kwenu?’+ Kumbukumbu la Torati 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Ikiwa mwana wako atakuuliza katika siku fulani wakati ujao,+ akisema, ‘Ushuhuda na masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wetu amewaamuru ninyi yanamaanisha nini?’ Zaburi 145:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kizazi baada ya kizazi kitazipongeza kazi zako,+Nao watatangaza juu ya matendo yako ya nguvu.+
20 “Ikiwa mwana wako atakuuliza katika siku fulani wakati ujao,+ akisema, ‘Ushuhuda na masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wetu amewaamuru ninyi yanamaanisha nini?’