Kutoka 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nawe utamwambia mwana wako siku hiyo, na kusema, ‘Ni kwa sababu ya jambo ambalo Yehova amenifanyia nilipotoka Misri.’+ Kumbukumbu la Torati 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka. Yoshua 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ili kwamba jambo hili liwe ishara katikati yenu.+ Ikiwa wana wenu watauliza wakati ujao, wakisema, ‘Kwa nini mna mawe haya?’+ Zaburi 78:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ili kizazi kitakachokuja, wana ambao wangezaliwa, wapate kuyajua,+Ili wasimame na kuwasimulia wana wao,+ Zaburi 145:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kizazi baada ya kizazi kitazipongeza kazi zako,+Nao watatangaza juu ya matendo yako ya nguvu.+ Waefeso 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.
8 Nawe utamwambia mwana wako siku hiyo, na kusema, ‘Ni kwa sababu ya jambo ambalo Yehova amenifanyia nilipotoka Misri.’+
7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka.
6 ili kwamba jambo hili liwe ishara katikati yenu.+ Ikiwa wana wenu watauliza wakati ujao, wakisema, ‘Kwa nini mna mawe haya?’+
6 Ili kizazi kitakachokuja, wana ambao wangezaliwa, wapate kuyajua,+Ili wasimame na kuwasimulia wana wao,+
4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.