Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nawe utamwambia mwana wako siku hiyo, na kusema, ‘Ni kwa sababu ya jambo ambalo Yehova amenifanyia nilipotoka Misri.’+

  • Kumbukumbu la Torati 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka.

  • Yoshua 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ili kwamba jambo hili liwe ishara katikati yenu.+ Ikiwa wana wenu watauliza wakati ujao, wakisema, ‘Kwa nini mna mawe haya?’+

  • Zaburi 78:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ili kizazi kitakachokuja, wana ambao wangezaliwa, wapate kuyajua,+

      Ili wasimame na kuwasimulia wana wao,+

  • Zaburi 145:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kizazi baada ya kizazi kitazipongeza kazi zako,+

      Nao watatangaza juu ya matendo yako ya nguvu.+

  • Waefeso 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki