Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na itakuwa kwamba wana wenu watakapowaambia, ‘Utumishi huu unamaanisha nini kwenu?’+

  • Kutoka 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Na itakuwa kwamba ikiwa mwana wako atakuuliza baadaye,+ na kusema, ‘Hili linamaanisha nini?’ basi utamwambia, ‘Kwa nguvu za mkono, Yehova alitutoa Misri,+ katika nyumba ya watumwa.+

  • Kumbukumbu la Torati 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Ikiwa mwana wako atakuuliza katika siku fulani wakati ujao,+ akisema, ‘Ushuhuda na masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wetu amewaamuru ninyi yanamaanisha nini?’

  • Yoshua 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye akawaambia wana wa Israeli: “Wana wenu watakapowauliza baba zao wakati ujao, wakisema, ‘Mawe haya yanamaanisha nini?’+

  • Zaburi 78:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ambavyo tumevisikia na tunavijua,+

      Na ambavyo baba zetu wenyewe wametusimulia;+

  • Isaya 38:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Aliye hai, aliye hai, ndiye anayeweza kukusifu,+

      Kama vile mimi ninavyoweza leo hii.+

      Baba anaweza kuwapa wanawe ujuzi+ kuhusu ukweli wako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki