Kumbukumbu la Torati 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+ Kumbukumbu la Torati 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka. Zaburi 44:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,Mababu zetu wenyewe wametusimulia+Utendaji ambao ulifanya katika siku zao,+Siku za zamani za kale.+ Zaburi 78:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ambavyo tumevisikia na tunavijua,+Na ambavyo baba zetu wenyewe wametusimulia;+
9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+
7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka.
44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,Mababu zetu wenyewe wametusimulia+Utendaji ambao ulifanya katika siku zao,+Siku za zamani za kale.+