Zaburi 59:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Uwakomeshe kwa hasira;+Uwakomeshe ili wasiwepo;Na wajue kwamba Mungu anatawala katika Yakobo mpaka kwenye miisho ya dunia.+ Sela. Isaya 59:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Atatoa thawabu kulingana na matendo,+ ghadhabu kwa adui zake, atawatendea adui zake kama vile inavyostahili.+ Atavilipa visiwa tendo linalostahili.+
13 Uwakomeshe kwa hasira;+Uwakomeshe ili wasiwepo;Na wajue kwamba Mungu anatawala katika Yakobo mpaka kwenye miisho ya dunia.+ Sela.
18 Atatoa thawabu kulingana na matendo,+ ghadhabu kwa adui zake, atawatendea adui zake kama vile inavyostahili.+ Atavilipa visiwa tendo linalostahili.+