Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 45:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mungu ni kiti chako cha ufalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele;+

      Fimbo ya enzi ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.+

  • Ezekieli 17:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “ ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Mimi mwenyewe nitachukua pia na kuweka sehemu ya vilele vilivyo juu sana vya mierezi;+ kutoka juu ya vitawi vyake nitang’oa kitawi kichanga+ nami mwenyewe nitakipandikiza juu ya mlima mrefu na ulio juu sana.+

  • Ezekieli 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nitaliharibu, nitaliharibu, nitaliharibu.+ Nalo hili pia, hakika hili halitakuwa la mtu yeyote mpaka atakapokuja yule aliye na haki ya kisheria,+ nami nitampa yeye.’+

  • Danieli 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akapewa utawala+ na heshima+ na ufalme,+ ili vikundi vyote vya watu, vya mataifa na lugha vimtumikie yeye.+ Utawala wake ni utawala unaodumu mpaka wakati usio na kipimo ambao hautapitilia mbali, na ufalme wake ni ufalme ambao hautaharibiwa.+

  • Yohana 1:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Nathanaeli akamjibu: “Rabi, wewe ndiye Mwana wa Mungu,+ wewe ndiye Mfalme+ wa Israeli.”

  • Ufunuo 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na juu ya vazi lake la nje, juu ya paja lake, ana jina ambalo limeandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki