22 “ ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Mimi mwenyewe nitachukua pia na kuweka sehemu ya vilele vilivyo juu sana vya mierezi;+ kutoka juu ya vitawi vyake nitang’oa kitawi kichanga+ nami mwenyewe nitakipandikiza juu ya mlima mrefu na ulio juu sana.+
27 Nitaliharibu, nitaliharibu, nitaliharibu.+ Nalo hili pia, hakika hili halitakuwa la mtu yeyote mpaka atakapokuja yule aliye na haki ya kisheria,+ nami nitampa yeye.’+
14 Naye akapewa utawala+ na heshima+ na ufalme,+ ili vikundi vyote vya watu, vya mataifa na lugha vimtumikie yeye.+ Utawala wake ni utawala unaodumu mpaka wakati usio na kipimo ambao hautapitilia mbali, na ufalme wake ni ufalme ambao hautaharibiwa.+