Luka 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo akasema: “Mtu fulani wa ukoo mashuhuri alisafiri mpaka nchi ya mbali ili ajipatie mamlaka ya kifalme kwa ajili yake mwenyewe na kurudi.+ Luka 22:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 nami ninafanya agano pamoja nanyi, sawa na vile Baba yangu alivyofanya agano+ pamoja nami, kwa ajili ya ufalme,+ Yohana 3:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Baba humpenda Mwana+ naye ametia vitu vyote mkononi mwake.+
12 Kwa hiyo akasema: “Mtu fulani wa ukoo mashuhuri alisafiri mpaka nchi ya mbali ili ajipatie mamlaka ya kifalme kwa ajili yake mwenyewe na kurudi.+
29 nami ninafanya agano pamoja nanyi, sawa na vile Baba yangu alivyofanya agano+ pamoja nami, kwa ajili ya ufalme,+