Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 25:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Kwa maana ni kama wakati ambapo mtu,+ akiwa karibu kusafiri ng’ambo,+ aliwaita watumwa wake na kuwapa mali zake.+

  • Marko 13:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Ni kama mtu anayesafiri kwenda ng’ambo,+ ambaye aliacha nyumba yake na kuwapa mamlaka watumwa wake, kila mmoja kazi yake, na kumwamuru mtunza-mlango aendelee kukesha.

  • Yohana 18:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Yesu akajibu:+ “Ufalme wangu si sehemu ya ulimwengu huu.+ Kama ufalme wangu ungekuwa sehemu ya ulimwengu huu, watumishi wangu wangepigana+ ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini, kama ilivyo, ufalme wangu hautoki katika chanzo hiki.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki