34 Ni kama mtu anayesafiri kwenda ng’ambo,+ ambaye aliacha nyumba yake na kuwapa mamlaka watumwa wake, kila mmoja kazi yake, na kumwamuru mtunza-mlango aendelee kukesha.
36 Yesu akajibu:+ “Ufalme wangu si sehemu ya ulimwengu huu.+ Kama ufalme wangu ungekuwa sehemu ya ulimwengu huu, watumishi wangu wangepigana+ ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini, kama ilivyo, ufalme wangu hautoki katika chanzo hiki.”