Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 11:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Baba yangu amenipa mimi vitu vyote,+ na hakuna yeyote anayemjua Mwana kabisa ila Baba,+ wala yeyote hamjui Baba kabisa ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+

  • Mathayo 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Yesu akakaribia na kuwaambia, akisema: “Nimepewa mamlaka yote+ mbinguni na duniani.

  • Luka 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baba yangu amevitia+ vitu vyote mkononi mwangu, na hakuna anayemjua Mwana ni nani ila Baba;+ na hakuna anayemjua Baba ni nani ila Mwana,+ na yule ambaye Mwana anapenda kumfunulia.”

  • Yohana 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kulingana na vile ambavyo umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili,+ ili, wote ambao umempa,+ yeye apate kuwapa uzima wa milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki