Yohana 3:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Baba humpenda Mwana+ naye ametia vitu vyote mkononi mwake.+ Yohana 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kulingana na vile ambavyo umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili,+ ili, wote ambao umempa,+ yeye apate kuwapa uzima wa milele.+ 1 Wakorintho 15:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana Mungu “alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Lakini anaposema kwamba ‘vitu vyote vimetiishwa,’+ ni wazi kwamba iko hivyo isipokuwa kwa yule aliyevitiisha vitu vyote kwake.+
2 kulingana na vile ambavyo umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili,+ ili, wote ambao umempa,+ yeye apate kuwapa uzima wa milele.+
27 Kwa maana Mungu “alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Lakini anaposema kwamba ‘vitu vyote vimetiishwa,’+ ni wazi kwamba iko hivyo isipokuwa kwa yule aliyevitiisha vitu vyote kwake.+