Isaya 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ee Yehova, wewe ni Mungu wangu. Ninakukweza, ninalisifu jina lako,Kwa maana umetenda mambo yanayostaajabisha,+Mambo yaliyokusudiwa* tangu nyakati za kale,+Kwa uaminifu,+ kwa kutegemeka. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 25:1 w01 3/1 14; ip-1 271 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:1 Mnara wa Mlinzi,3/1/2001, uku. 141/15/1988, uku. 10 Unabii wa Isaya 1, uku. 271
25 Ee Yehova, wewe ni Mungu wangu. Ninakukweza, ninalisifu jina lako,Kwa maana umetenda mambo yanayostaajabisha,+Mambo yaliyokusudiwa* tangu nyakati za kale,+Kwa uaminifu,+ kwa kutegemeka.