Zaburi 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitamsifu Yehova kulingana na uadilifu wake,+Nami nitalipigia muziki jina+ la Yehova Aliye Juu Zaidi.+ Zaburi 99:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtukuzeni Yehova Mungu wetu+ na kuinama chini penye kiti cha miguu yake;+Yeye ni mtakatifu.+ Zaburi 145:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 145 Nitakutukuza, Ee Mungu wangu Mfalme,+Nami nitalibariki jina lako mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+ Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+
17 Nitamsifu Yehova kulingana na uadilifu wake,+Nami nitalipigia muziki jina+ la Yehova Aliye Juu Zaidi.+
145 Nitakutukuza, Ee Mungu wangu Mfalme,+Nami nitalibariki jina lako mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+