2 Kisha Daudi mfalme akasimama kwa miguu yake na kusema:
“Nisikilizeni, ndugu zangu na watu wangu. Nilitaka sana moyoni mwangu+ kujenga nyumba ya kupumzika kwa ajili ya sanduku la agano la Yehova na kama kiti cha miguu+ cha Mungu wetu, nami nikawa nimefanya matayarisho ya kujenga.+
66Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+
49 ‘Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ nayo dunia ni kiti cha miguu+ yangu. Mtanijengea nyumba ya aina gani? Asema Yehova. Au mahali pangu pa kupumzika pako wapi?+