Zaburi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu. Mathayo 5:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Msiape+ hata kidogo, wala kwa mbingu, kwa sababu hizo ni kiti cha ufalme cha Mungu;+
4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.
34 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Msiape+ hata kidogo, wala kwa mbingu, kwa sababu hizo ni kiti cha ufalme cha Mungu;+