Ayubu 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa kweli, je, utaifanya haki yangu kuwa bure?Je, utanitangaza mimi kuwa mwovu ili wewe uwe upande wa haki?+ Zaburi 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Shauri la Yehova litasimama milele;+Mawazo ya moyo wake ni kwa kizazi kimoja baada ya kizazi kingine.+ Methali 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mna mipango mingi katika moyo wa mwanadamu,+ lakini shauri la Yehova ndilo litakalosimama.+ Isaya 46:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeye anayemwita ndege mwenye kuwinda kutoka mashariki,+ kutoka nchi ya mbali mtu atakayetekeleza shauri langu.+ Mimi nimesema hilo; pia nitalitimiza.+ Nimelifanyiza, pia nitalitenda.+
8 Kwa kweli, je, utaifanya haki yangu kuwa bure?Je, utanitangaza mimi kuwa mwovu ili wewe uwe upande wa haki?+
11 Shauri la Yehova litasimama milele;+Mawazo ya moyo wake ni kwa kizazi kimoja baada ya kizazi kingine.+
11 Yeye anayemwita ndege mwenye kuwinda kutoka mashariki,+ kutoka nchi ya mbali mtu atakayetekeleza shauri langu.+ Mimi nimesema hilo; pia nitalitimiza.+ Nimelifanyiza, pia nitalitenda.+