2 “Koreshi mfalme wa Uajemi amesema hivi,+ ‘Yehova Mungu wa mbinguni+ amenipa falme zote za dunia,+ naye mwenyewe amenipa utume nimjengee nyumba katika Yerusalemu,+ huko Yuda.
14 “Kusanyikeni pamoja, ninyi nyote, msikie.+ Ni nani kati yao ameyatangaza mambo haya? Yehova mwenyewe amempenda.+ Atafanya mapendezi yake juu ya Babiloni,+ na mkono wake mwenyewe utakuwa juu ya Wakaldayo.+