23 “Koreshi mfalme wa Uajemi+ amesema hivi, ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipa falme zote za dunia,+ naye mwenyewe amenipa utume nimjengee nyumba katika Yerusalemu, huko Yuda.+ Yeyote aliye katikati yenu ninyi watu wake wote,+ Yehova Mungu wake na awe pamoja naye.+ Basi apande na kwenda.’”+