Zaburi 75:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Mungu ndiye mwamuzi.+Humshusha huyu, na kumwinua yule.+ Danieli 2:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Wewe, Ee mfalme, uliye mfalme wa wafalme, wewe ambaye Mungu wa mbinguni amekupa ufalme,+ uwezo, na nguvu na heshima, Danieli 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+ Danieli 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi wewe, Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Zaidi+ alimpa baba yako Nebukadneza+ ufalme na ukuu na heshima na utukufu wa enzi.+
37 Wewe, Ee mfalme, uliye mfalme wa wafalme, wewe ambaye Mungu wa mbinguni amekupa ufalme,+ uwezo, na nguvu na heshima,
35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+
18 Basi wewe, Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Zaidi+ alimpa baba yako Nebukadneza+ ufalme na ukuu na heshima na utukufu wa enzi.+