Yeremia 28:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Nitatia nira ya chuma juu ya shingo ya mataifa haya yote, ili yamtumikie Nebukadneza mfalme wa Babiloni;+ nao lazima watamtumikia.+ Nami nitampa hata wanyama wa mwituni.”’”+ Danieli 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi wewe, Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Zaidi+ alimpa baba yako Nebukadneza+ ufalme na ukuu na heshima na utukufu wa enzi.+
14 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Nitatia nira ya chuma juu ya shingo ya mataifa haya yote, ili yamtumikie Nebukadneza mfalme wa Babiloni;+ nao lazima watamtumikia.+ Nami nitampa hata wanyama wa mwituni.”’”+
18 Basi wewe, Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Zaidi+ alimpa baba yako Nebukadneza+ ufalme na ukuu na heshima na utukufu wa enzi.+