Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 47:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana Yehova, Aliye Juu Zaidi, ni mwenye kuogopesha,+

      Mfalme mkuu juu ya dunia yote.+

  • Zaburi 83:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+

      Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+

  • Zaburi 92:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Lakini wewe uko juu mpaka wakati usio na kipimo, Ee Yehova.+

  • Danieli 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jambo hilo ni kulingana na agizo la walinzi,+ na ombi hilo ni kulingana na neno la watakatifu, kusudi watu wanaoishi wajue kwamba Aliye Juu Zaidi ni Mtawala katika ufalme wa wanadamu+ na kwamba humpa yeyote yule amtakaye ufalme huo,+ na humweka juu yake mwanadamu aliye wa hali ya chini zaidi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki