Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 75:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana Mungu ndiye mwamuzi.+

      Humshusha huyu, na kumwinua yule.+

  • Zaburi 89:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Uzao wake mwenyewe utakuwako mpaka wakati usio na kipimo,+

      Na kiti chake cha ufalme kama vile jua lilivyo mbele zangu.+

  • Mathayo 25:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Wakati Mwana wa binadamu+ atakapofika katika utukufu wake, na malaika wote pamoja naye,+ ndipo atakapoketi juu ya kiti chake cha ufalme chenye utukufu.+

  • Luka 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi;+ na Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme+ cha Daudi baba yake,+

  • Luka 1:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 naye atatawala akiwa mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki