Zaburi 50:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mbingu zinasema juu ya uadilifu wake,+Kwa maana Mungu mwenyewe ni Mwamuzi.+ Sela. Zaburi 58:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wanadamu watasema:+ “Kwa kweli kuna matunda kwa ajili ya mwadilifu.+Kwa kweli kuna Mungu ambaye anahukumu duniani.”+
11 Nao wanadamu watasema:+ “Kwa kweli kuna matunda kwa ajili ya mwadilifu.+Kwa kweli kuna Mungu ambaye anahukumu duniani.”+