Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mungu ni Mwamuzi mwadilifu,+

      Na Mungu anazitupa shutuma kila siku.

  • Zaburi 75:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana Mungu ndiye mwamuzi.+

      Humshusha huyu, na kumwinua yule.+

  • Waebrania 12:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 katika kusanyiko kuu,+ na kutaniko la wazaliwa wa kwanza+ ambao wameandikishwa+ mbinguni, na Mungu Mwamuzi wa wote,+ na maisha ya kiroho+ ya waadilifu ambao wamefanywa wakamilifu,+

  • Ufunuo 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo,+ wamesimama mbele ya kile kiti cha ufalme, na vitabu vya kukunjwa vikafunguliwa. Lakini kitabu kingine cha kukunjwa kikafunguliwa; hicho ni kitabu cha uzima.+ Na wafu wakahukumiwa kutokana na mambo yale yaliyoandikwa katika vile vitabu kulingana na matendo yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki