Mwanzo 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni jambo lisilowaziwa kwako kwamba unatenda namna hii kuua mtu mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile kama ilivyo kwa mwovu!+ Ni jambo lisilowaziwa kwako.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”+ Zaburi 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana umetekeleza hukumu yangu na kesi yangu;+Umeketi juu ya kiti cha ufalme ukihukumu kwa uadilifu.+ Zaburi 33:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Anapenda uadilifu na haki.+Dunia imejawa na fadhili zenye upendo za Yehova.+ Zaburi 98:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+
25 Ni jambo lisilowaziwa kwako kwamba unatenda namna hii kuua mtu mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile kama ilivyo kwa mwovu!+ Ni jambo lisilowaziwa kwako.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”+
4 Kwa maana umetekeleza hukumu yangu na kesi yangu;+Umeketi juu ya kiti cha ufalme ukihukumu kwa uadilifu.+
9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+