6 Na sasa mimi mwenyewe nimezitia nchi hizi zote mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babiloni,+ mtumishi wangu;+ na nimempa hata wanyama wa mwituni ili wamtumikie.+
38 na amekupa mkononi mwako,+ popote pale ambapo wana wa binadamu hukaa, wanyama wa mwituni na viumbe vya mbinguni vyenye mabawa, na amekufanya kuwa mtawala juu ya vyote hivyo. Wewe ndiye kile kichwa cha dhahabu.+