Danieli 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na sanamu hiyo ilikuwa na kichwa cha dhahabu safi,+ kifua na mikono ya fedha,+ tumbo na mapaja ya shaba,+ Danieli 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 na majani yake yalikuwa mazuri, na ambao matunda yake yalikuwa mengi, na ambao juu yake kulikuwa na chakula kwa ajili ya wote; ambao chini yake wanyama wa mwituni walikaa, na ambao juu ya matawi yake ndege wa mbinguni walikuwa wakikaa,+
32 Na sanamu hiyo ilikuwa na kichwa cha dhahabu safi,+ kifua na mikono ya fedha,+ tumbo na mapaja ya shaba,+
21 na majani yake yalikuwa mazuri, na ambao matunda yake yalikuwa mengi, na ambao juu yake kulikuwa na chakula kwa ajili ya wote; ambao chini yake wanyama wa mwituni walikaa, na ambao juu ya matawi yake ndege wa mbinguni walikuwa wakikaa,+