Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “Na baada yako utasimama ufalme+ mwingine ulio mdogo kwako;+ na ufalme mwingine, wa tatu, wa shaba, ambao utaitawala dunia yote.+

  • Danieli 5:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “PERESI, ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”+

  • Danieli 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Na, tazama! mnyama mwingine, wa pili, aliye kama dubu.+ Naye alikuwa ameinuliwa upande mmoja,+ na kulikuwa na mifupa mitatu ya mbavu kinywani mwake kati ya meno yake; nao walikuwa wakimwambia hivi, ‘Simama, ule nyama nyingi.’+

  • Danieli 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nilipoinua macho yangu, ndipo nikaona, na, tazama! kondoo-dume+ amesimama mbele ya huo mfereji, naye alikuwa na pembe mbili. Na hizo pembe mbili zilikuwa ndefu, lakini moja ilikuwa ndefu kuliko ile nyingine, na ile ndefu ndiyo iliyotokea baadaye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki