Danieli 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kisha nikaendelea kuona, na, tazama! mnyama mwingine, aliye kama chui,+ lakini mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne ya kiumbe kinachoruka. Na mnyama huyo alikuwa na vichwa vinne,+ naye akapewa utawala kwelikweli. Danieli 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na yule mbuzi-dume mwenye manyoya anawakilisha mfalme wa Ugiriki;+ na ile pembe kubwa iliyokuwa kati ya macho yake, inawakilisha mfalme wa kwanza.+ Danieli 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi akaendelea kusema: “Je, kweli unajua kwa nini nimekuja kwako? Na sasa nitarudi kupigana na mkuu wa Uajemi.+ Ninapoenda, tazama! pia mkuu wa Ugiriki anakuja.+ Danieli 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Na mfalme mwenye nguvu atasimama na kutawala kwa mamlaka kubwa sana+ na kufanya kulingana na mapenzi yake.+
6 “Kisha nikaendelea kuona, na, tazama! mnyama mwingine, aliye kama chui,+ lakini mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne ya kiumbe kinachoruka. Na mnyama huyo alikuwa na vichwa vinne,+ naye akapewa utawala kwelikweli.
21 Na yule mbuzi-dume mwenye manyoya anawakilisha mfalme wa Ugiriki;+ na ile pembe kubwa iliyokuwa kati ya macho yake, inawakilisha mfalme wa kwanza.+
20 Basi akaendelea kusema: “Je, kweli unajua kwa nini nimekuja kwako? Na sasa nitarudi kupigana na mkuu wa Uajemi.+ Ninapoenda, tazama! pia mkuu wa Ugiriki anakuja.+
3 “Na mfalme mwenye nguvu atasimama na kutawala kwa mamlaka kubwa sana+ na kufanya kulingana na mapenzi yake.+