Danieli 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Baada ya hayo nikaendelea kuangalia, na tazama! mnyama mwingine, kama chui,+ lakini mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne kama ya ndege. Na mnyama huyo alikuwa na vichwa vinne,+ naye alipewa mamlaka ya kutawala. Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 7:6 w12 6/15 10; dp 134-135 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:6 Mnara wa Mlinzi,6/15/2012, kur. 10-114/15/1988, kur. 22-2410/1/1986, uku. 7 Unabii wa Danieli, kur. 134-135
6 “Baada ya hayo nikaendelea kuangalia, na tazama! mnyama mwingine, kama chui,+ lakini mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne kama ya ndege. Na mnyama huyo alikuwa na vichwa vinne,+ naye alipewa mamlaka ya kutawala.
7:6 Mnara wa Mlinzi,6/15/2012, kur. 10-114/15/1988, kur. 22-2410/1/1986, uku. 7 Unabii wa Danieli, kur. 134-135