Danieli 2:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “Lakini baada yako ufalme mwingine utainuka,+ ulio dhaifu kwako; kisha ufalme mwingine, wa tatu, wa shaba, ambao utaitawala dunia yote.+ Danieli 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nilipokuwa nikiendelea kuangalia, tazama! kulikuwa na mbuzi dume+ aliyekuwa akija kutoka magharibi* akivuka dunia yote bila kugusa ardhi. Na mbuzi huyo alikuwa na pembe iliyoonekana waziwazi kati ya macho yake.+ Danieli 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Na mfalme mwenye nguvu atasimama na kutawala kwa mamlaka kubwa sana+ na kufanya apendavyo.
39 “Lakini baada yako ufalme mwingine utainuka,+ ulio dhaifu kwako; kisha ufalme mwingine, wa tatu, wa shaba, ambao utaitawala dunia yote.+
5 Nilipokuwa nikiendelea kuangalia, tazama! kulikuwa na mbuzi dume+ aliyekuwa akija kutoka magharibi* akivuka dunia yote bila kugusa ardhi. Na mbuzi huyo alikuwa na pembe iliyoonekana waziwazi kati ya macho yake.+