Danieli 2:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “Lakini baada yako ufalme mwingine utainuka,+ ulio dhaifu kwako; kisha ufalme mwingine, wa tatu, wa shaba, ambao utaitawala dunia yote.+ Danieli 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Baada ya hayo nikaendelea kuangalia, na tazama! mnyama mwingine, kama chui,+ lakini mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne kama ya ndege. Na mnyama huyo alikuwa na vichwa vinne,+ naye alipewa mamlaka ya kutawala. Danieli 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yule mbuzi dume mwenye manyoya anafananisha mfalme wa Ugiriki;+ na ile pembe kubwa iliyokuwa kati ya macho yake, inafananisha mfalme wa kwanza.+
39 “Lakini baada yako ufalme mwingine utainuka,+ ulio dhaifu kwako; kisha ufalme mwingine, wa tatu, wa shaba, ambao utaitawala dunia yote.+
6 “Baada ya hayo nikaendelea kuangalia, na tazama! mnyama mwingine, kama chui,+ lakini mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne kama ya ndege. Na mnyama huyo alikuwa na vichwa vinne,+ naye alipewa mamlaka ya kutawala.
21 Yule mbuzi dume mwenye manyoya anafananisha mfalme wa Ugiriki;+ na ile pembe kubwa iliyokuwa kati ya macho yake, inafananisha mfalme wa kwanza.+